Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia na beki Mspaniola, Sergioa Ramos baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leganes katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Benzema amefunga mabao mawili dakika za 48 na 61, Ramos dakika ya 66 na lingine, Gareth Bale dakika ya 17 na Sergio Ramos dakika ya 66 kwa penalti, wakati la Leganes limefungwa na Giudo Carillo kwa penalti dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: Why this England line-up is so disappointing, from the
Marcus Smith muddle to the unnecessary changes all over the pitch - and the
worrying impact it could have on our World Cup chances
-
I'm a big fan of Steve Borthwick. But I have to be honest and say I'm
disappointed in his team selection for the match against Fiji.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment