Mshambuliaji Sadio Mane akiruka juu kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza  Liverpool dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City Uwanja wa King Power. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45, wakati la Leicester limefungwa na Rachid Ghezzal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Rangers 'unsatisfied' with SFA explanation of Trusty decision as club hit 
out at 'repeated inconsistencies' in major matches
                      -
                    
Rangers last night slammed the SFA and the performance of referee Nick 
Walsh in Sunday's Old Firm defeat to Hampden.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment