Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-0 Real Madrid PLAYER RATINGS: Who had a 'coming-of-age
performance'? Who now looks back to their best? And which star did nothing
of note?
-
LEWIS STEELE AT ANFIELD: Liverpool once again got one over on Real Madrid
at Anfield on Tuesday night, suggesting that the Reds may well have turned
a corn...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment