Wachezaji wa Barcelona, Clement Lenglet (kushoto) na Nelson Semedo wakimdhibiti mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zilitoka sare ya1-1, Real Madrid wakitangulia kwa bao la Lucas Vasquez dakika ya sita kabla ya Malcom kuisawazishia Barcelona dakika ya 57 na sasa zitarudiana Februari 27 Uwanja wa Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Electric England fight back on thrilling opening day of rich and madcap
Ashes entertainment to turn first Test on its head, writes LAWRENCE BOOTH
-
LAWRENCE BOOTH IN PERTH: An electric display from England's five-man pace
attack, led by five wickets for Ben Stokes , turned a thrilling opening day
on it...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment