Wachezaji wa Barcelona, Clement Lenglet (kushoto) na Nelson Semedo wakimdhibiti mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Timu hizo zilitoka sare ya1-1, Real Madrid wakitangulia kwa bao la Lucas Vasquez dakika ya sita kabla ya Malcom kuisawazishia Barcelona dakika ya 57 na sasa zitarudiana Februari 27 Uwanja wa Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This is the unbelievable moment an injured serpent eagle flew into a MOVING
car as the driver was filming a holiday vlog.
-
A vlogger filming in Tanay, Rizal, Philippines was stunned when an injured
serpent eagle flew through an open window and into his moving car during
his fir...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment