Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Nets co-owner and Democratic fundraiser sued for allegedly performing
oral sex on incapacitated woman
-
Arthur 'Artie' Rabin, an apparel mogul and Democratic fundraiser who once
owned a minority share of the NBA 's Brooklyn Nets , is being sued for
assault an...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment