Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis superstar Aryna Sabalenka leaves fans stunned after going topless in
surprise Instagram post after Wimbledon heartbreak
-
The 27-year-old is a three-time Grand Slam champion but suffered heartbreak
at Wimbledon as she was dealt a shock semi-final defeat at the hands of
Amanda ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment