Mabondia Deontay Wilder (kulia) na Tyson Fury wakitambiana wakati wa mkutano wao wa kwanza na Wasandishi wa Habari mapema leo ukumbi wa Novo Theatre Jijini Los Angeles kuelekea pambano lao marudiano Februari 22 ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano la kwanza miezi 13 iliyopita nchini humo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floods displace over 200, cause millions in damages in Cross River
-
From Aniekan Aniekan, Calabar Heavy rainfall has caused devastating floods
in several communities in Odukpani Local Government Area (LGA) of Cross
River ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment