Wachezaji wa Barcelona kutoka kulia Lionel Messi, Luis Suarez na Antoine Griezmann wakipongezana baada ya ushindi wa 4-1dhidi ya Villareal kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana, Uwanja wa Ceramica. Mabao ya Barcelona yalifungwa na Pau Torres aliyejifunga dakika ya tatu, Luis Suarez dakika ya 20, Antoine Griezmann dakika ya 45 na Ansu Fati dakika ya 86, wakati la Villareal lilifungwa na Gerard Moreno dakika ya 14 na kwa ushindi huo Barca inafikisha pointi 73, sasa ikizidiwa pointi nne na vinara, Real Madrid baada ya wote kucheza mechi 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: Why this England line-up is so disappointing, from the
Marcus Smith muddle to the unnecessary changes all over the pitch - and the
worrying impact it could have on our World Cup chances
-
I'm a big fan of Steve Borthwick. But I have to be honest and say I'm
disappointed in his team selection for the match against Fiji.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment