Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ever wanted to play golf in the Alps? Here's why the outstanding Kulm Hotel
in St Moritz should be the next stop on your golfing bucket list
-
When most people think of a holiday to St Moritz, they might instantly
associate the beautiful Swiss town with winding ski slopes and wintery
markets.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment