Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Bizarre situation, Le Mans's promotion to Ligue 1 isn't official!
-
Total confusion on the final day of Ligue 2.After more than 40 minutes of
silence, the referee officially announced that the match between Bastia and
Le Ma...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment