Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis star Bernard Tomic needed to win one point to claim victory - but
what happened next will go down as one of the most embarrassing on-court
moments in his colourful career
-
Bernard Tomic's revival the past couple of years has been impressive as he
approaches the twilight of his career - but he will cringe when he looks
back at...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment