Nyota Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la Liverpool limefungwa na kinda Curtis Jones dakika ya 89 na kwa ushindi huo, Liverpool ambao tayari ni mabingwa, wanafikisha pointi 89 baada ya kucheza mechi 33, wakati Aston Villa inabaki nafasi ya 19 na pointi zake 27 baada ya kucheza mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton breaks silence on his future at Ferrari - and hits out at
'SECRECY' from stewards after his 10-second penalty
-
JONATHAN McEVOY IN SAO PAULO: Hamilton, 40, has not made it to the podium
in his first season at the Scuderia and is 64 points behind team-mate
Charles Lec...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment