Nyota Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la Liverpool limefungwa na kinda Curtis Jones dakika ya 89 na kwa ushindi huo, Liverpool ambao tayari ni mabingwa, wanafikisha pointi 89 baada ya kucheza mechi 33, wakati Aston Villa inabaki nafasi ya 19 na pointi zake 27 baada ya kucheza mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scottish Premiership could FINALLY have season of thrills, spills and chaos
if chasing pack fulfil their promise, writes GARY KEOWN
-
There's been an encouraging amount of promise shown by a number of teams
outside the Big Two in these embryonic stages of the season. With some big
promise...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment