Romelu Lukaku na Lautaro Martinez wakishangilia pamoja baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 5-0 wa Inter Milan dhidi ya Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa Jumatatu Uwanja wa Merkur Spiel-Arena, Jijini Dusseldorf nchini Ujerumani. Martinez alifunga dakika za 19 na 74 na Lukaku dakika za 78 na 83, wakati bao lingine limefungwa na Danilo D'Ambrosio dakika ya 64 na sasa Inter Milan itakutana na Sevilla katika Fainali Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kieran Foran's final footy game - as NRL legend prepares for his next
challenge as an assistant coach with the Manly Sea Eagles
-
Kieran Foran will sign off with one of rugby league's most deserved
farewells on Sunday night - and 15 hours later begin life as an NRL
assistant coach wit...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment