Sadio Mane wa Liverpool akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nicolas Otamendi kwenye boksi leo lakini refa hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Liverpool walitangulia kwa bao la penalti la James Milner dakika ya 51, kufuatia Roberto Firmino kuangushwa na Gael Clichy kwenye boksi, lakini Sergio Aguero akaisawazishia Man City akimalizia pasi ya Kevin de Bruyne dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran war could make Trump's trip to China a bit chillier than his
first-term visit
-
Weeks before his trip to China, President Donald Trump was already
predicting on social media that his Chinese counterpart, Xi Jinping, would
“give me a bi...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment