Sadio Mane wa Liverpool akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nicolas Otamendi kwenye boksi leo lakini refa hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Liverpool walitangulia kwa bao la penalti la James Milner dakika ya 51, kufuatia Roberto Firmino kuangushwa na Gael Clichy kwenye boksi, lakini Sergio Aguero akaisawazishia Man City akimalizia pasi ya Kevin de Bruyne dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bill Belichick called out by top college recruit who makes 'bum' dig after
snubbing UNC
-
Bill Belichick has been called out by a top college recruit who decided to
snub UNC. Keshawn Stancil, a top-10 recruit in the state of North Carolina,
rece...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment