Marouane Fellaini (kushoto) akishangilia na Jesse Lingard (kulia) baada ya wote kufunga katika ushindi wa Manchester United wa 3-1 dhidi ya wenyeji Middlesbrough leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Fellaini alifunga la kwanza dakika ya 30, Lingard la pili dakika ya 62 na la tatu lilifungwa na Antonio Valencia dakika ya 90 na ushei, wakati la kufutia machozi la Boro lilifungwa na Rudy Gestede dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star opens up about getting the shattering news that he's infertile
despite being one of the fittest athletes in Australia
-
Former footy star Reece Conca has opened up on his struggles after finding
out he was infertile, despite being in such great physical shape.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment