Marouane Fellaini (kushoto) akishangilia na Jesse Lingard (kulia) baada ya wote kufunga katika ushindi wa Manchester United wa 3-1 dhidi ya wenyeji Middlesbrough leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside. Fellaini alifunga la kwanza dakika ya 30, Lingard la pili dakika ya 62 na la tatu lilifungwa na Antonio Valencia dakika ya 90 na ushei, wakati la kufutia machozi la Boro lilifungwa na Rudy Gestede dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joao Pedro makes decision over his future after Chelsea see £58m bid for
Brighton star rejected amid Newcastle interest
-
SIMON JONES: Chelsea have had a proposal of around £58m rebuffed with
Brighton wanting in excess of £60m for Joao Pedro. Since joining in 2023,
Joao Pedro ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment