Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defamation: Natasha granted N50m bail after no-guilty plea
-
Suspended Senator Natasha Akpoti-Uduaghan was granted a N50 million bail on
Thursday after pleading not guilty to alleged defamation. The senator
represe...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment