Daley Blind akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia) na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kufunga kwa bao la pili kwa penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza Benfica walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti la Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment