Beki Eliaquim Mangala (katikati) akiwa mazoezini na wenzake jana Manchester City ikijiandaa na mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya leo usiku dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi. Mangala anaweza kuanza katika beki ya kati leo kufuatia John Stones kuumia mwishoni mwa wiki kwenye mechi dhidi ya Leicester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How one tragic image left tennis superstar Novak Djokovic in floods of
tears at tournament
-
Novak Djokovic's commanding second-round win over Alejandro Tabilo at
the Hellenic Championship in Athens seemed routine - until the match was
over.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment