Beki Eliaquim Mangala (katikati) akiwa mazoezini na wenzake jana Manchester City ikijiandaa na mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya leo usiku dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi. Mangala anaweza kuanza katika beki ya kati leo kufuatia John Stones kuumia mwishoni mwa wiki kwenye mechi dhidi ya Leicester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wyatt-Hodge & Bell lead Brave to win over Phoenix
-
Danni Wyatt-Hodge's 59 runs off 39 balls and Lauren Bell's three wickets
help Southern Brave to a 15-run win over Birmingham Phoenix in the Women's
Hundred...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment