Romelu Lukaku akiwa ameshika tuzo yake baada ya kukabidhiwa kufuatia kuingia kwenye orodha ya wachezaji 28 tu kuwahi kufikisha mabao 100 kwenye Ligi Kuu ya England. Lukaku alifunga bao lake la 100 mwishoni mwa msimu uliopita kwenye mechi na Swansea City na mabao hayo amefunga akiwa na klabu za Manchester United, Chelsea, Everton na West Brom PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment