Riyad Mahrez akishangilia baada kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 55 kufuatia kutokea benchi kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Kelvin De Bruyne katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Manchester City inafikisha pointi 71 baada ya ushindi wa leo katika mechi ya 29 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu England, sasa ikiizidi pointi mbili Liverpool ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Kerr 'can't stop smiling' after receiving handcrafted gift for FINALLY
reaching 100 goals
-
Sam Kerr has been honoured by Chelsea with a special hand-crafted soccer
ball to mark her 100 goals for the English champions
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment