Kiungo James Maddison akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Leicester City dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la kwanza la Leicester limefungwa na Ricardo Pereira dakika ya 69, likiwa la kusawazisha baada ya Harry Kane kuanza kuifungia Spurs dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vietnam, US, hold negotiations on new trade deal, ministry says
-
HANOI (Reuters) -Vietnam and the United States held an online round of
negotiations on a new trade deal on Thursday night, the Ministry of
Industry and Tra...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment