Kiungo James Maddison akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Leicester City dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la kwanza la Leicester limefungwa na Ricardo Pereira dakika ya 69, likiwa la kusawazisha baada ya Harry Kane kuanza kuifungia Spurs dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol 42-24 Leicester: Louis Rees-Zammit scores and Tom Jordan impresses
on league debuts but Bears facing up to major injury crisis
-
ALEX BYWATER AT ASHTON GATE: Louis Rees-Zammit and Tom Jordan marked their
Bristol league debuts with a try and a stand-out display respectively amid
a Bea...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment