Sadio Mane (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, beki Virgil van Dijk baada ya kuiufngia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 28 kufuatia Jetro Willems kutangulia kuifungia Newcastle United dakika ya saba katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake mengine yakifungwa na Mane pia dakika ya 40 na Mohamed Salah dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kwande leaders endorse Tinubu for 2027, applaud Akume’s developmental
strides
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja A high-powered delegation from Kwande
Local Government Area (LGA) of Benue State has declared unwavering support
for P...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment