Cristiano Ronaldo akiwa ameshika kichwa baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kuifungia timu yake bao ambalo lingekuwa la ushindi, Juventus ikitoa sare y 2-2 na wenyeji Atletico Madrid kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Juventus ilitangulia kwa mabao ya Juan Cuadrado dakika ya 48 Blaise Matuidi dakika ya 68 kabla ya Atletico Madrid kusawazisha kupitia kwa Stefan Savic dakika ya 70 na Hector Herrera dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment