Cristiano Ronaldo akiwa ameshika kichwa baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kuifungia timu yake bao ambalo lingekuwa la ushindi, Juventus ikitoa sare y 2-2 na wenyeji Atletico Madrid kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Juventus ilitangulia kwa mabao ya Juan Cuadrado dakika ya 48 Blaise Matuidi dakika ya 68 kabla ya Atletico Madrid kusawazisha kupitia kwa Stefan Savic dakika ya 70 na Hector Herrera dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle ready to move for Dutch AZ Alkmaar wonderkid likened to Barcelona
star Pedri... and why they could beat Europe's top clubs to the
ball-playing midfielder
-
Newcastle are ready to compete with Europe's top clubs for AZ Alkmaar
wonderkid Kees Smit.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment