Bondia Muingereza Tyson Fury akivuja damu baada ya kuchapwa ngumi kali na mpinzani wake, Msweden Otto Wallin katika pambano la uzito wa juu Alfajiri ya leo ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani. Hata hivyo, Fury alishinda kwa pointi pambano hilo la raundi 10 na kuendeleza rekodi yake ya kushinda mapambano yake yote 30 ingawa baada ya mchezo huo alikimbizwa hospitali kwa matibabu na kushindwa kuzungumza na Waandishi wa Habari. Fury anatarajiwa kurejea ulingoni Februari 22 kwa pambano la marudiano na Deontay Wilder hapo hapo Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment