Kiungo Mholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia na mchezaji mwenzake, Mbrazil Roberto Firmino baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 79 ikiwalaza wenyeji, Sheffield United 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane huo ukiwa ushindi wa saba mfululizo tangu msimu uanze PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea: What Slot said
-
Liverpool have dropped nine points from winning positions in Premier League
home games this season, their most at Anfield in a single campaign since
2015-1...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment