Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Martinelli (kushoto) akishangilia na Calum Chambers baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 31 kabla ya kufunga na la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Nottingham Forest usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England 'Carabao Cup'. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Rob Holding dakika ya 71, Joe Willock dakika ya 77 na Reiss Nelson dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle ready to move for Dutch AZ Alkmaar wonderkid likened to Barcelona
star Pedri... and why they could beat Europe's top clubs to the
ball-playing midfielder
-
Newcastle are ready to compete with Europe's top clubs for AZ Alkmaar
wonderkid Kees Smit.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment