Mshambuliaji Mbrazil, Gabriel Martinelli (kushoto) akishangilia na Calum Chambers baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 31 kabla ya kufunga na la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Nottingham Forest usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England 'Carabao Cup'. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Rob Holding dakika ya 71, Joe Willock dakika ya 77 na Reiss Nelson dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Review: Keeping faith with Jimmy Thelin is tarnishing his Scottish Cup
legacy
-
Consider for a moment an alternate universe in which Aberdeen lost their
penalty shootout with Celtic at Hampden just over four months ago.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment