Roberto Pereyra akishangilia baada ya kuifungia Watford bao la kusawaziwsha dakika ya 81 kwa penalti ikitoa sare ya 2-2 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo ambao ni wa kwanza baada ya Quique Sanchez Flores kurejea Vicarage Road. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika za 21 na 32 wakati la kwanza la Watford limefungwa na Tom Cleverley dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle ready to move for Dutch AZ Alkmaar wonderkid likened to Barcelona
star Pedri... and why they could beat Europe's top clubs to the
ball-playing midfielder
-
Newcastle are ready to compete with Europe's top clubs for AZ Alkmaar
wonderkid Kees Smit.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment