Roberto Pereyra akishangilia baada ya kuifungia Watford bao la kusawaziwsha dakika ya 81 kwa penalti ikitoa sare ya 2-2 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo ambao ni wa kwanza baada ya Quique Sanchez Flores kurejea Vicarage Road. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika za 21 na 32 wakati la kwanza la Watford limefungwa na Tom Cleverley dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment