Rhian Brewster akimrukia mgongoni mchezaji mwenzake, Ki-Jana Hoever kumpongeza baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Milton Keynes Dons kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa MK mjini Buckinghamshire. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na James Milner dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce's ex Kayla Nicole denies throwing shade at Taylor Swift and
NFL star with viral Halloween shoot
-
Fans were convinced that Nicole, who dated Kelce on and off for five years
before he found love with Swift, was throwing shade at the NFL legend and
his fi...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment