Rhian Brewster akimrukia mgongoni mchezaji mwenzake, Ki-Jana Hoever kumpongeza baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Milton Keynes Dons kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa MK mjini Buckinghamshire. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na James Milner dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brock Lesnar makes controversial return to WWE after two years in exile to
confront John Cena at SummerSlam
-
After two years in exile due to his alleged involvement in the Vince
McMahon lawsuit, Brock Lesnar returned to WWE programming at SummerSlam to
confront Jo...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment