Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza 3-2 Aston Villa Uwanja wa Emirates leo. Mabao mengine ya Arsenal iliyomaliza pungufu baada kinda wake Ainsley Maitland-Niles kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kucheza rafu, yalifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 59 na Callum Chambers dakika ya 81, wakati ya Villa yalifungwa na John McGinn dakika ya 20 na Wesley dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce's ex Kayla Nicole denies throwing shade at Taylor Swift and
NFL star with viral Halloween shoot
-
Fans were convinced that Nicole, who dated Kelce on and off for five years
before he found love with Swift, was throwing shade at the NFL legend and
his fi...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment