Marco Reus wa Borussia Dortmund akipiga penalti ambayo iliokolewa na kipa wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen dakika ya 57 baada ya Jadon Sancho kuchezewa rafu na Nelson Semedo kwenye boksi timu hizo zikitoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment