Teemu Pukki (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Norwich City bao la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Norwich yamefungwa na Kenny McLean dakika ya 18 na Todd Cantwell dakika ya 28 wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 45 na Rodri Hernández dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope, Bumrah, Bashir - how England v India will be won and lost
-
BBC Sport and data analysts CricViz look at the key battles that could
decide the outcome of the England v India Test series.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment