Teemu Pukki (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Norwich City bao la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Norwich yamefungwa na Kenny McLean dakika ya 18 na Todd Cantwell dakika ya 28 wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 45 na Rodri Hernández dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment motorbiking ace Marc Marquez suffering spectacular cartwheeling Moto
GP crash as he breaks foot when thrown off bike
-
The 33-year-old Spaniard was launched into the air after losing control at
Turn 14 on the penultimate lap, with his Ducati machine somersaulting
across the...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment