Teemu Pukki (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Norwich City bao la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Norwich yamefungwa na Kenny McLean dakika ya 18 na Todd Cantwell dakika ya 28 wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 45 na Rodri Hernández dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Minnesota visits Seattle, seeks 25th victory this season
-
Minnesota Lynx (24-5, 16-2 Western Conference) at Seattle Storm (16-13, 9-7
Western Conference)
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment