Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 35 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Preston North End jana usiku Uwanja wa Deepdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 19 na Ryan Ledson aliyejifunga dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce's ex Kayla Nicole denies throwing shade at Taylor Swift and
NFL star with viral Halloween shoot
-
Fans were convinced that Nicole, who dated Kelce on and off for five years
before he found love with Swift, was throwing shade at the NFL legend and
his fi...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment