Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za saba na 86 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Grimsby Town kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Ross Barkley dakika ya nne, Pedro kwa penalti dakika ya 43, Kurt Zouma dakika ya 56, Reece James dakika ya 82 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 89 wakati la Grimsby Town limefungwa na Matt Green dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce's ex Kayla Nicole denies throwing shade at Taylor Swift and
NFL star with viral Halloween shoot
-
Fans were convinced that Nicole, who dated Kelce on and off for five years
before he found love with Swift, was throwing shade at the NFL legend and
his fi...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment