Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za saba na 86 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Grimsby Town kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Ross Barkley dakika ya nne, Pedro kwa penalti dakika ya 43, Kurt Zouma dakika ya 56, Reece James dakika ya 82 na Callum Hudson-Odoi dakika ya 89 wakati la Grimsby Town limefungwa na Matt Green dakika ya 19 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment