Son Heung-min akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 10 na 23 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Patrick van Aanholt aliyejifunga dakika ya 21 na Erik Lamela dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Review: Keeping faith with Jimmy Thelin is tarnishing his Scottish Cup
legacy
-
Consider for a moment an alternate universe in which Aberdeen lost their
penalty shootout with Celtic at Hampden just over four months ago.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment