Riyad Mahrez (kulia) akishangilia na Ilkay Gundogan baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 24 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Oblasny SportKomplex Metalist mjini Kharkiv. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Gundogan dakika ya 38 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Social Security fund could run out in 8 years, trustees say. Is there hope?
-
Social Security's reserves could be depleted by 2033, according to the 2025
Social Security and Medicare Trustees annual report released Wednesday.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment