Kinda wa Chelsea, Tammy Abraham akifurahia baada ya kuifungia Chelsea mabao matatu dakika za 34, 41 na 55 katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Wolverhampton Wanderers leo Uwanja wa Molineux. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Fikayo Tomori dakika ya 31 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei, wakati ya Wolves moja Abraham alijifunga dakika ya 69 na lingine alifunga Patrick Cutrone dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle ready to move for Dutch AZ Alkmaar wonderkid likened to Barcelona
star Pedri... and why they could beat Europe's top clubs to the
ball-playing midfielder
-
Newcastle are ready to compete with Europe's top clubs for AZ Alkmaar
wonderkid Kees Smit.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment