Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya ushindi wa penalti 5-3 kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Rochdale kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Manchester United ilitangulia kwa bao la Mason Greenwood dakika ya 68, kabla ya Luke Matheson kuisawazishia Rochdale dakika ya 76. Waliofunga penalti na Man United ni Juan Mata, Andreas Pereira, Fred, Greenwood na Daniel James wakati za Rochdale zilifungwa na Calvin Andrew, Aaron Morley na Aaron Wilbraham huku Jimmy Keohane pekee akikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As Israel strikes Iran, many wonder if the US will deepen its involvement
-
As Israeli strikes kill top Iranian generals, take out air defenses and
damage nuclear sites, many wonder if President Donald Trump will deepen
U.S. involv...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment