Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipatiwa matibabu ya msuli wa paka baada ya kuumia katika mchezo wa La Liga dhidi ya Villarreal usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kabla ya kutolewa mapumziko nafasi yake ikichukuliwa na Ousmane Dembele. Barcelona ilishinda 2-1, mabao yake yakichukuliwa na Antoine Griezmann dakika ya sita na Arthur Melo dakika ya 15, wakati la Villarreal lilifungwa na Santi Cazorla dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
California could slash 5 GOP US House seats, as Texas moves at Trump's
urging to pad GOP margin
-
California Democrats are considering new political maps that could slash
five Republican-held House seats in the liberal-leaning state while
bolstering Dem...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment