Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa pamoja na viongozi wao wa benchi la Ufundi wakiwa na wawakilishi wa Nyumba ni Choo waliotembelea kambi yao leo mchana na kutoa elimu ya afya. Tanzanite inajiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia U20 dhidi ya Uganda utakaochezwa Jumapili Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam.
Celtic job not on Wales boss Bellamy's 'radar'
-
Craig Bellamy "understands" why his name has been linked with the vacant
managerial role at ex-club Celtic but is "fully committed" to Wales.
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment