Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa pamoja na viongozi wao wa benchi la Ufundi wakiwa na wawakilishi wa Nyumba ni Choo waliotembelea kambi yao leo mchana na kutoa elimu ya afya. Tanzanite inajiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia U20 dhidi ya Uganda utakaochezwa Jumapili Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam.
OpenAI’s long-awaited GPT-5 model nears release
-
SAN FRANCISCO (Reuters) -OpenAI's GPT-5, the latest installment of the AI
technology that powered the ChatGPT juggernaut in 2022, is set for an
imminent re...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment