Nahodha Sergio Ramos akikimbia kishujaa kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid kwa penalti dakika ya 79 kufuatia Dani Carvajal kuangushwa na Mathias Olivera kwenye boksi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stéfano. Kwa ushindi huo, Real Madrid wanafikisha pointi 74 sasa wakiwazidi pointi nne, mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 33, wakati Getafe inabaki nafasi ya sita na pointi zake 52 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry gives his honest verdict on Viktor Gyokeres after his £64m
move to Arsenal after a mixed pre-season
-
Gyokeres arrives with a sizzling reputation after scoring 97 goals and
providing 28 assists in two seasons with Sporting Lisbon - but the Premier
League is...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment