Sheffield United wamepata ushindi wa kwanza tangu kurejea kwa Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Tottenham Hotspur 3-1 usiku wa leo Uwanja wa Bramall Lane. Mabao ya Sheffield United yamefungwa na Sander Berge dakika ya 31, Lys Mousset dakika ya 69 na Oliver McBurnie dakika ya 84, wakati la Spurs limefungwa na Harry Kane dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Buddhist monk arrested over alleged rape of teen in Sri Lanka
-
The Venerable Pallegama Hemarathana Thero holds one of the most revered
positions in the Buddhist world.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment