Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa hawaamini macho yao baada ya kufungwa mabao 3-1 na Tottenham Hotspur katikaa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley. Mabao ya Spurs yamefungwa na Dele Alli mawili dakika za 27 na 55 na Christian Eriksen dakika ya 65 wakati la Real Madrid limefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three games you must watch in MLS this weekend 🍿
-
Your regularly scheduled MLS programming returns once again this weekend as
the 2025 season edges closer to MLS Cup Playoff time.With tight races
defining ...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment