Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa hawaamini macho yao baada ya kufungwa mabao 3-1 na Tottenham Hotspur katikaa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley. Mabao ya Spurs yamefungwa na Dele Alli mawili dakika za 27 na 55 na Christian Eriksen dakika ya 65 wakati la Real Madrid limefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton breaks silence on his future at Ferrari - and hits out at
'SECRECY' from stewards after his 10-second penalty
-
JONATHAN McEVOY IN SAO PAULO: Hamilton, 40, has not made it to the podium
in his first season at the Scuderia and is 64 points behind team-mate
Charles Lec...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment