Mohamed Salah akiwa juu kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Maribor usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 64 Daniel Sturridge dakika ya 90 wakati kipa wa Maribor, Jasmin Handanovic alicheza penalti ya James Milner dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Construction workers lambast Umahi over incompetence claim
-
From Okwe Obi, Abuja The Construction and Civil Engineering Senior Staff
Association (CCESSA) has lambasted Minister of Works Dave Umahi for
castigating ...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment