Mohamed Salah akiwa juu kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Maribor usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 64 Daniel Sturridge dakika ya 90 wakati kipa wa Maribor, Jasmin Handanovic alicheza penalti ya James Milner dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bride Refuses to Let Sister Bring Her Newborn Baby to Her 'Child-Free'
Wedding, Says She's 'Ruining the Family Dynamic'
-
The sister wrote that the bride is "the type of person who wants a 'perfect
aesthetic' for everything"
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment