Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza Cardiff City 3-2 Uwanja wa Cardiff katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 11 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 62, wakati ya Cardiff City yamefungwa na Victor Camarasa dakika ya 45 na ushei na Danny Ward dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What we learned from the first half of the NFL season
-
With half of the NFL season in the books we look at what we learned from
the first nine weeks, who the biggest surprises and disappointments are and
how th...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment