Mshambuliaji Romelu Lukaku akiwa juu kuifungia kwa kichwa Manchester United bao la kwanza dakika ya27 baada ya krosi ya Alexis Sanchez kabla ya kumtungua tena kipa wa Burnley, Joe Hart dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor. Katika mchezo huo, Paul Pogba alikosa penalti dakika ya 69 na Marcus Rashford akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 71 kufuatia kuingia kuchukua nafasi ya Sanchez dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Football cancels its virtue-signalling silences: Meaningless gestures with
no link to sport to be abandoned after 'inconsistent' tributes to tragedies
-
In recent years, tributes have been held across grounds out of respect for
the victims of an earthquake in Morocco, as well as a flooding disaster in
Libya.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment