Mshambuliaji Romelu Lukaku akiwa juu kuifungia kwa kichwa Manchester United bao la kwanza dakika ya27 baada ya krosi ya Alexis Sanchez kabla ya kumtungua tena kipa wa Burnley, Joe Hart dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor. Katika mchezo huo, Paul Pogba alikosa penalti dakika ya 69 na Marcus Rashford akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 71 kufuatia kuingia kuchukua nafasi ya Sanchez dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matt Damon Revives Iconic Impression for All-Star ‘SNL’ Cold Open
-
Returning host Matt Damon reprised his famous role as Supreme Court Justice
Brett Kavanaugh in the latest Saturday Night Live cold open. Damon first
appear...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment