Mshambuliaji wa Lyon, Memphis Depay akijaribu kupiga shuti mbele ya beki wa Manchester City katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad. Lyon ilishinda 2-1 jana, mabao yake yakifungwa na Maxwel Cornet dakika ya 26 na Nabil Fekir dakika ya 43 wakati la Man City limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 'set to appoint Rob Edwards after agreeing £2m fee with
Middlesbrough for boss' - and Premier League strugglers 'will give new boss
funds in January to turn miserable season around'
-
Wolves are expected to appoint Middlesbrough manager Rob Edwards as their
new boss on a three-and-a-half-year deal, according to reports.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment