Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania kutoka kulia, Sanifu Lazaro, David Mwakalebela, Athumani China, George Masatu na Hussein Masha baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Zaire (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), bao la Innocent Haule dakika ya 63 Aprili 27, mwaka 1991 kwenye mchezo wa Kundi la Nane kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa Afrika Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam
UFC 328 video: Yaroslav Amosov dominates grappling, taps Joel Alvarez
-
Yaroslav Amosov's grappling game was simply too much for Joel Alvarez to
handle on the prelims of UFC 328.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment