Mshambuliaji Mario Balotelli akijirekodi video ambayo aliiposti muda huo huo Instagram wakati akishangilia baada ya kuifungia Marseille bao la kwanza dakika ya 12 kabla ya Florian Thauvin kufunga la pili kwa penalti dakika ya 21 kuiwezesha timu yao kushinda 2-0 dhidi ya Saint Etienne katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City make ominous statement on chastening night for Liverpool
-
Manchester City delivered an ominous statement of intent by outclassing
Liverpool in Pep Guardiola's 1,000th match as a manager, says chief
football writer...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment