Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordon Hudson appears to dodge encounter with Bill Belichick's
daughter-in-law at UNC game after social media dig
-
Schmitt, 11 years older than Hudson, is married to Belichick's son Stephen,
who coaches at UNC alongside his famous father as the defensive coordinator.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment