Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara akitaja viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini. Wengine kulia ni Mtendaji Mkuu wa klabu, Senzo Mbatha na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, Hashim Mbaga na viingilio ni Sh. 30,000 VIP, Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 7000 kwa mzunguko
Formula One's Las Vegas Grand Prix halted by loose MANHOLE COVER - which
isn't even shown in TV cover-up
-
Formula One's flagship race in Las Vegas got off to a typically shaky start
when a manhole cover worked loose during the second practice session headed
by ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment