Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akimtoka beki wa Sevilla, Diego Carlos katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa matokeo hayo, Barca inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 30, ikiizidi pointi tatu Real Madrid ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make major Trent Alexander-Arnold decision ahead of his
Liverpool return in the Champions League
-
The defender is expecting a less-than warm reception when he returns to his
boyhood club for the first time since his £10million summer move to the
Spanish...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment