Harry Maguire akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 118 ikiwalaza wenyeji, Norwich 2-1 katika Robo Fainali ya Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Carrow Road. Odion Ighalo alianza kuifungia Man United dakika ya 51, kabla ya Todd Cantwell kuwasawazishia wenyeji dakika ya 75 na dakika ya 89 wakampoteza Timm Klose aliyetolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Odion Ighalo. Man United wanakwenda Nusu Fainali ya Kombe la FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pundits divided over VAR controversy in Liverpool's clash with Real Madrid
as reason for surprise decision is revealed - after Reds fans were
convinced they were getting a penalty
-
The Reds thought they were about to be awarded a spot kick against their
Spanish opponents when Aurelien Tchouameni handled the ball inside the
penalty are...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment