Mgeni rasmi, Mkuu wa Jeshi la Magereza mkoani Kagera, William Mtunguja akiwasabahi marefa, Salum Chama wa Kagera (wa pili kushoto), Nassor Hamdoun wa Kigoma (kulia) na James Kashaija wa Kagera (katikati yao) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Kagera Stars na Ushirika ya Moshi mwaka 1993 Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Mwingine kushoto ni Nahodha wa Ushirika, Willy Martin.
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment